看肺结节挂什么科| 排尿困难是什么原因| 什么有条| 我国的国花是什么花| 兰蔻是什么牌子| 瞳距是什么意思| 肛裂用什么药| 忉利天是什么意思| 骨骼清奇什么意思| 产检请假属于什么假| 滴水不漏是什么生肖| p是什么单位| 反绒皮是什么材质| 肠鸣吃什么药| 宝宝细菌感染吃什么药| les什么意思| 唐氏筛查临界风险是什么意思| 董事长是什么职位| 癸亥五行属什么| 胆摘除对身体有什么影响| 11.28什么星座| 天天喝可乐有什么危害| pdd是什么意思| 睡觉为什么要枕枕头| 高压偏低有什么危害| 王一博是什么星座| 省长是什么级别| 卡不当什么意思| 非典型腺细胞是什么意思| 遗传物质的载体是什么| 黑胡椒和白胡椒有什么区别| 贝母和川贝有什么区别| 白巧克力是什么做的| 什么叫密度| 发热门诊属于什么科| 常喝柠檬水有什么好处和坏处| 青海有什么湖| 哺乳期感冒吃什么药不影响哺乳| 乌纱帽是什么意思| 吃什么可以自然掉体毛| 养病是什么意思| 电解质水是什么水| 查甲状腺挂什么科| 衾怎么读什么意思| 新加坡属于什么气候| 夭折是什么意思| 什么的蜻蜓| 三湖慈鲷可以和什么鱼混养| 小孩子坐飞机需要什么证件| 血小板低是什么病| 三月十三是什么星座| 胃食管反流用什么药| 什么叫人| 大鱼际发青是什么原因| 高密度灶是什么意思| a21和以纯什么关系| 一什么篮子| 看病人买什么水果| 训练有素是什么意思| 梦见去墓地是什么预兆| 舌头上有白苔是什么原因| 浇头是什么意思| 心五行属性是什么| 什么时候开始降温| 血糖高吃什么| 赭石色是什么颜色| 紧张性头痛吃什么药| 月子可以吃什么菜| 红斑狼疮是什么病| 要强是什么意思| 鱼翅是什么鱼身上的| tcl什么牌子| 甲状腺结节吃什么药| 防是什么生肖| 六味地黄丸什么功效| 黑玫瑰代表什么| super是什么意思| 咽炎什么症状| 1964年是什么命| 火龙果是什么颜色| 38岁属什么生肖| 六月十八是什么星座| 促排卵针什么时候打| 水痘是什么样的| 办理护照需要什么材料| hpv检查挂什么科| 胃疼有什么办法缓解| 老赖什么意思| 历久弥新的意思是什么| 黑色属于什么五行属性| 肺气虚吃什么食物| 减脂吃什么主食| 辟谷是什么意思| 一物降一物前面一句是什么| 红细胞压积是什么意思| 手麻了是什么原因| 前列腺炎吃什么药效果好见效快| 苏州机场叫什么名字| 调理内分泌失调吃什么药效果好| 夏天穿什么鞋子| 铁蛋白是什么意思| 打灰是什么意思| 车震是什么意思啊| 肾结水有什么危害| 宁静什么意思| 荆芥的别名叫什么| 倒刺是什么原因引起的| 品规是什么意思| 喉咙痛上火吃什么药效果最好| 舌头有齿痕吃什么药| 造纸术是什么时候发明的| 肾不好吃什么好| 朋友越来越少暗示什么| 三和大神什么意思| kappa属于什么档次| 悦人不如悦己什么意思| 盆腔肿物是什么意思| 肾阳虚吃什么药最好| 没有胎心胎芽是什么原因造成的| 梦见搬家是什么预兆| 什么死法不痛苦| 扬州有什么好玩的地方| 双肾实质回声增强是什么意思| 大便隐血弱阳性是什么意思| 内痔是什么意思| 人体最大的器官是什么| 奶奶的妈妈叫什么| 牙齿一碰就疼是什么原因| 小孩自闭症是什么原因引起的| 海阔什么| 中性粒细胞计数偏高是什么意思| 烤冷面是什么材料做的| 舌苔厚有齿痕吃什么药| 早晨起来手肿是什么原因| 皮革是什么材质| 经常做噩梦的原因是什么| 做梦梦见大蟒蛇什么意思| 八髎区疼是什么原因| 中华田园犬为什么禁养| 眼睛眼屎多是什么原因| 吗丁啉有什么功效| cbb电容是什么电容| 艺高胆大是什么生肖| 月经要来之前有什么症状| 温州人为什么会做生意| 女人耳垂大厚代表什么| 肚子疼一般是什么原因| 梦见杀蛇是什么预兆| 嗓子发炎是什么原因引起的| 鳖吃什么| 脸上长黑痣是什么原因| 肚子疼吃什么| 收放自如是什么意思| foxer是什么牌子| c1开什么车| tfboys什么意思| 什么是假性抑郁症| 木辛读什么| 水球是什么| 刘强东属什么生肖| 什么是乙肝病毒携带者| 肺胃热盛吃什么中成药| mackage是什么牌子| 辣椒什么时候种| 光感是什么意思| ccr是什么意思| 什么的桃子| 说女人强势是什么意思| 头晕到医院看什么科| 一年四季穿棉衣是什么生肖| 13太保是什么意思| 鼻子旁边的痣代表什么| 寿司是什么| 注是什么意思| 胆固醇是什么东西| 既往史是什么意思| 双甘油脂肪酸酯是什么| 椭圆脸适合什么发型男| 地球为什么是圆的| 果胶是什么东西| 纳囊是什么妇科病| ecg医学上什么意思| 什么药和酒一起吃必死| 既视感是什么意思| 肝介入治疗是什么意思| 脚心热吃什么药| 取环挂什么科| 肝火旺会出现什么症状| MC是什么牌子的车| 蛇信子是什么| 江西特产有什么| 什么花什么门的成语| 体寒吃什么| 手掌小鱼际发红是什么原因| 旦上面加一横是什么字| 吞咽困难是什么感觉| 父亲节要送什么礼物好| 宝子是什么意思| 女女叫什么| 拔牙第二天可以吃什么| 自来水是什么水| 慷慨什么| 感冒咳嗽挂什么科| 儿童矮小挂什么科| 皖鱼是什么鱼| 幼儿园中班学什么| 静对什么| 减肥喝什么茶| 五月二十一号是什么星座| 答谢宴是什么意思| 解脲脲原体阳性是什么意思| 7月1日是什么星座| 荔枝什么品种好吃| 凌晨是什么时辰| 阑尾炎痛起来什么感觉| 95年属什么多大| peaches是什么意思| 鸭子炖什么好吃| 新生儿贫血是什么原因造成的| 全光谱是什么意思| 耳加贵念什么| 发烧是什么原因引起的| 地主代表什么生肖| 右肾盂分离是什么意思| 姑妈的老公叫什么| 来曲唑片是什么药| 双向情感障碍是什么意思| 晚上八点半是什么时辰| 奇花初胎矞矞皇皇是什么意思| 着重号是什么符号| 荨麻疹忌口忌什么食物| 来月经吃什么排得最干净| 晚上睡觉手麻木是什么原因| 卡西欧手表什么档次| 右位主动脉弓是什么意思| 健康管理是什么专业| 开诚布公是什么意思| 再生聚酯纤维是什么面料| 白带正常是什么样子| 摩羯座属于什么象星座| 白癜风是什么样子的| ab和o型血生的孩子是什么血型| 点状血流信号是什么意思| 黑下打信是什么任务| 所费不赀是什么意思| 好运连绵是什么意思| 鸿字五行属什么| 什么人容易得肺结核| 哈怂是什么意思| 勃起功能障碍吃什么药| 怀孕养狗对胎儿有什么影响| 头晕目眩是什么意思| 蛋白石是什么石头| 什么是纯净水| 鸡蛋吃多了有什么坏处| 头顶爱出汗是什么原因| 吃什么缓解痛经| 血小板减少会出现什么症状| 马日冲鼠是什么意思| 娟五行属什么| 感冒扁桃体发炎吃什么药| 红枣和枸杞一起泡水喝有什么作用| 冒节子是什么东西| 1217是什么星座| 百度Nenda kwa yaliyomo

优酷上亿条账户信息在暗网被卖2000元全部打包带走

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Waamuzi)
Gustave Dore alivyomchora Debora, mwamuzi pekee wa kike.
百度 目前监管层在研究推出ChinaDR(中国版的托管凭证)。

Kitabu cha Waamuzi ni cha saba katika orodha ya vitabu vya Tanakh (Biblia ya Kiebrania) na vya Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo.

Kinaleta mapokeo mbalimbali kuhusu historia ya Israeli kwenye miaka 1200-1025 hivi K.K.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Baada ya makabila 12 ya Waisraeli kugawana nchi takatifu, kila moja likaanza kujitegemea: lakini bila ya umoja hakuna nguvu upande wa dini wala wa siasa.

Upande wa dini, Waisraeli wakaanza kuchanganyikana na wenyeji Wapagani na kufuata utamaduni wao uliostaarabika zaidi, hata wakaabudu miungu yao kwa ukahaba wa kidini na kwa kuitolea sadaka watoto wao.

Kutokana na makosa hayo, Mungu akawaacha wanyanyaswe na makabila mbalimbali.

Mara kwa mara Waisraeli wakamlilia, naye akawainulia mwanamume au mwanamke fulani awashinde maadui na kuwarudishia amani (Amu 2:6-19).

Watu wa namna hiyo wanaitwa “waamuzi” kwa maana ya “watawala”. Majina yao ni: Othniel, Ehud, Shamgar, Debora, Gideoni, Tola, Yair, Yefta, Ibsan, Elon, Abdon, Samsoni.

Habari za waamuzi hao 12 haziwezi kupangwa kitarehe, kwa kuwa hazina dalili zinazotusaidia kujua ipi ilitangulia na ipi ilifuata. Waandishi wenyewe hawakujua mwaka wa matukio hayo, hivyo walikusanya kumbukumbu walizokuwanazo kama kwamba waamuzi walifuatana mmoja baada ya mwingine kuongoza Israeli. Ukweli ni kwamba waliweza kuongoza kwa wakati mmoja huyu huku na huyu huku, kwa kuwa kila mmoja alihusika na eneo fulani tu. Kwa kuwapanga mmoja baada ya mwingine, waandishi waliweza kusisitiza mara 12 kwamba Waisraeli walirudiarudia dhambi, na kwa sababu hiyo walirudiarudia kupewa na Mungu adhabu aliyoitabiri Musa. Lakini fundisho muhimu zaidi ni kwamba Bwana, bila ya kujali ugeugeu wao, daima alikuwa tayari kuwaokoa walipomlilia msaada.

Mazingira

[hariri | hariri chanzo]

Kitabu cha Waamuzi kinasimulia matukio ya Israeli katika miaka 200 hivi baada ya Yoshua kuiteka nchi ya Kanaani, lakini kinaleta picha tofauti na kile cha Yoshua kuhusu hali ya nchi ya Kanaani baada ya uvamizi. Kinaonyesha kuwa Waisraeli hawakufukuza wenyeji wote, bali waliteka baadhi tu ya maeneo yao wakaishi jirani nao. Chini ya Yoshua Waisraeli walishinda vita vile vikubwa, lakini hawakutii amri ya Mungu ya kuangamiza au kufukuza Wakanaani wote. Matokeo yake, Wakanaani waliobaki nchini kila wakati walisababisha matatizo kwa Waisraeli, upande wa dini na upande wa siasa pia.

Wakati ule katika historia ya Israeli hali fulani iliingia ambayo habari zake tunaweza kuzisoma katika kitabu cha Waamuzi mara kwa mara. Baada ya muda, Waisraeli walimwacha Mungu wao wakaiga desturi za dini za jadi za Wakanaani, wakawa dhaifu upande wa siasa, na mwisho wakashindwa na Wakanaani au na mataifa ya jirani. Lakini Mungu, aliyewatumia maadui wale ili kuwaadhibu watu wake waliomwasi, alikuwa mvumilivu sana kwao katika neema yake. Kila mara, kwa wakati wake mwenyewe, aliwapa kiongozi na mwokozi ambaye aliwashinda maadui na kuwaongoza Waisraeli ili wamtambue Mungu wao tena.

Watu hao walioleta wokovu waliitwa Waamuzi kama ilivyokuwa kawaida kwa watawala wengine wa eneo lile. Wengi wao walitimiza uamuzi wa Mungu, wakiwashinda maadui na kuwaokoa watu wake. Wengine wasiokuwa watu wa vita, walitimiza uamuzi wa Mungu kwa kuongoza mambo ya kila siku ya watu wa Mungu kadiri ya sheria yake. Kutokana na viongozi wale, wakiwa wa kiraia au wa kijeshi, kitabu hiki kilipata jina lake.

Waisraeli na maadui wao

[hariri | hariri chanzo]

Inaonekana kwamba vita mbalimbali dhidi ya mataifa ya jirani na ushindi wake, na mapinduzi ya baadaye yaliyoletwa na Waamuzi wa Israeli, mara nyingi vilikuwa katika sehemu fulani ya nchi tu, bila ya kuhusu nchi yote ya Kanaani. Kwa kawaida makabila yaliyohusika yalikuwa yale ya maeneo yao tu. Pia iliwezekana kwamba ushindi na mashambulio yake yalikuwa sehemu mbalimbali kwa wakati mmoja. Kwa mfano, habari za Yefta na Waamoni ziliweza kuwa zimetokea wakati ule ule ambao Samsoni alishughulika na Wafilisti (taz. 10:7-8; 11:5; 13:1). Haukuwepo umoja sana katika Israeli, na kila kabila, au hata makundi ya makabila fulani, yaliangalia mambo yaliyotokea katika maeneo yao, bila ya kujali mambo ya makabila mengine.

Sababu kuu ya ukosefu huo wa umoja ilikuwa kwamba, watu walikuwa wamemwacha Mungu, kwa sababu kama wangalimfanya Yeye kuwa mkuu na kiini cha maisha yao ya kitaifa, uaminifu wao kwa Mungu ungaliwaunganisha. Pia ngome za Wakanaani (pamoja na askari zao waliobaki sehemu mbalimbali za maana) zilizuia umoja wa makabila ya Israeli. Katika nchi yenyewe ya Kanaani (yaani eneo la kati ya Mto Yordani na Bahari ya Kati), makabila ya Israeli yalikuwa katika makundi makubwa matatu, yaani ya kaskazini, ya katikati na ya kusini, ambapo Mto Yordani ulitenga makabila ya mashariki na mengine.

Matengano hayo ya makabila ya Israeli hayakuwa ya kisiasa au ya kieneo tu, bali pia yalileta shida kwa umoja wa kidini, kwa sababu watu wengi walitengwa na mahali maalumu pa kuabudia, yaani hema la kukutania lililokuwepo Shilo (Yos 18:1; 22:9).

Kwa kifupi, matatizo yote ya Waisraeli, yakiwa ya maendeleo, ya kisiasa au ya kidini, yalitokana na ukosefu wa watu wa kutii amri za Mungu (taz.1:21, 27-36; Kumb 7:2-4; 9:5; Yos 24:14-24).

Dini za Wakanaani

[hariri | hariri chanzo]

Miungu ya Wakanaani ilijulikana kwa jina la Baalim au Mabaali (wingi wa Baali; taz. 2:11; 10:10; 1 Fal 16:31), na miungu ya kike iliitwa Maashtorethi (wingi wa Ashtorethi; taz. 2:13; 1 Sam 7:3-4), na Asherimu au Ashera (wingi wa Ashera; taz. 6:25-26; 2 Fal 23:4; kumbuka neno la Kiswahili 'Uasherati').

Miungu hiyo ilikuwa ya kustawisha uzazi wo wote, pia iliaminiwa kuwa ingeweza kuongeza ustawi wa mimea. Waisraeli walijua kwamba Mungu alikuwa Mwumbaji wa hali yote ya uzazi na ustawi, na hivyo ilikuwa hatua ndogo tu kwa Waisraeli kuunganisha na kuchanganya mawazo ya Kikanaani na ujuzi wao wenyewe, na hivyo kumwabudu Yahweh kama Baali mwingine. Maana ya neno 'baali' ilikuwa bwana, mume, au mwenyewe. Waisraeli walimjua Yahweh (YHWH) kuwa Mume na Bwana wao, kwa hiyo walikuwa katika hatari zaidi ya kuunganisha Mabaali wa Kikanaani na Mungu wao aliye Yahweh (Hos 2:5-10).

Mahali ambapo Wakanaani walipenda kuendesha ibada zao kwa Mabaali na Asherimu palikuwa katika vilele vitakatifu vya milima mbalimbali palipoitwa 'mahali pa juu' (Hes 33:51-52; 2 Fal 23:13). Baadhi ya vitu vilivyotumiwa mahali pale vilikuwa miti mitakatifu na nguzo za mawe matakatifu vilivyoitwa Maashera (au Ashera, mungu wa kike ambaye vitu vile vilichukua jina lake; taz. 6:25-26; 1 Fal 14:23). Tangu mwanzo Waisraeli walikuwa wamemwabudu Mungu mahali mbalimbali katika milima (taz. Mwa 22:2; Kut 17:8-15; 19:3), na hapo pia ilikuwa rahisi kuteleza na kuchukua sehemu za juu za Mabaali na kuzitumia kwa ibada zao kwa Yahweh. Mambo hayo yote yalifanyika, ingawa Mungu alikuwa ameamuru kwamba sehemu zote za ibada ya Mabaali zibomolewe kabisa (Hes 33:52; Kum 12:2-3).

Makahaba wa kike na wa kiume walipatikana katika 'mahali pa juu' kwa ajili ya sherehe mbalimbali za uzazi na ustawi wa nchi. Sherehe hizo zilikuwa za kidini nao waliamini kwamba sherehe hizo za kuingiliana kimwili zingestawisha nafaka, mifugo yo yote na hata maisha ya familia (1 Fal 14:23-24; Yer 13:27). Katika kuyafuata mambo ya Mabaali, watu wa Israeli walikuwa na hatia ya zinaa ya kidini pia. Agano baina ya Waisraeli na Mungu lilifananishwa na ndoa, na hivyo Waisraeli walipojiunga na Mabaali na miungu mingine, walifanya dhambi ya zinaa dhidi yake (taz. 2:12-13, 17; Yer 2:20; 3:6-8; Hos 2:13; 4:12).

Nyongeza ya kitabu inaonyesha kuwa kumwasi Mungu kulisababisha hatimaye Waisraeli kupigana wenyewe kwa wenyewe. Ni kwamba, ukivunja amri ya kwanza unaweza kuja kuzivunja zote, na ukimkataa bab, hutakubali tena ndugu zako. Mstari wa mwisho unaeleza sababu nyingine ya fujo hizo: kutokuwepo mfalme mmoja juu ya makabila yote 12. Kwa kusema hivyo, kitabu kinatuandaa kusikia katika vitabu vinavyofuata jinsi ufalme wa Israeli ulivyoanzishwa kwa usimamizi wa Samweli, nabii na mwamuzi wa mwisho lakini mkuu kuliko hao 12.

Yaliyomo

[hariri | hariri chanzo]

1:1-2:5 Utangulizi kuhusu ushindi wa Yoshua

2:6-16:31 Utawala wa Waamuzi

17:1-21:25 Machafuko katika Israeli

Ufafanuzi

[hariri | hariri chanzo]
  • Amit, Yairah. "Judges" Introduction and Annotations. The Jewish Study Bible. Ed. Adele Berlin and Marc Zvi Brettler. New York: Oxford University Press, 2004. 508-557.
  • Alter, Robert, trans. and commentary. Ancient Israel: The Former Prophets: Joshua, Judges, Samuel, and Kings. New York: W. W. Norton & Company, 2013. Print.
  • Davis, John J. and Herbert Wolf. Judges Introduction and Annotations. Zondervan NIV Study Bible (Fully Revised). Ed. Kenneth L. Barker. Grand Rapids, MI: Zondervan, 2002. 326–363.
  • Guest, P. Deryn (2003). "Judges". Katika James D. G. Dunn and John William Rogerson (mhr.). Eerdmans Commentary on the Bible. Eerdmans. ISBN 978-0-8028-3711-0.
  • Telushkin, Joseph. Biblical Literacy: The Most Important People, Events, and Ideas of the Hebrew Bible. New York: William Morrow and Company, 1997.

Marejeo mengine

[hariri | hariri chanzo]
  • Bacon, Gershon and S. David Sperling. "Judges (Heb.???????), Book of." Encyclopaedia Judaica. Second Edition, Volume 11. pp. 561–566.
  • Malamat A. "Chapter VII: The Period of the Judges." Judges. The World History of the Jewish People. 3. Givatayim, Israel: Rutgers UP, 1971. pp. 129–163.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Kitabu chenyewe kwa Kiebrania
Tafsiri za Kiyahudi kwa Kiingereza
Tafsiri za Kikristo kwa Kiingereza
Katika Kamusi Elezo ya Kiyahudi
Vitabu vya Agano la Kale

Mwanzo * Kutoka * Walawi * Hesabu * Kumbukumbu * Yoshua * Waamuzi * Ruthu * Samueli I * Samueli II * Wafalme I * Wafalme II * Mambo ya Nyakati I * Mambo ya Nyakati II * Ezra * Nehemia * TobitiDK * YudithiDK * Esta * Wamakabayo IDK * Wamakabayo IIDK * Yobu * Zaburi * Methali * Mhubiri * Hekima DK * SiraDK * Wimbo Bora * Isaya * Yeremia * Maombolezo * BarukuDK * Ezekieli * Danieli * Hosea * Yoeli * Amosi * Obadia * Yona * Mika * Nahumu * Habakuki * Sefania * Hagai * Zekaria * Malaki

Alama ya DK inaonyesha vitabu vya deuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.

Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waamuzi (Biblia) kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
天龙八部是指佛教中的什么 紫色是什么颜色 大便次数多什么原因 rh是什么意思 网络诈骗打什么电话
黑色搭配什么颜色好看 东方蝾螈吃什么 补办医保卡去什么地方 三本是什么 文字属于五行属什么
包涵是什么意思 什么样才是包皮 白菜属于什么科 任劳任怨是什么生肖 如果是什么意思
阑尾炎打什么消炎针好 午餐肉炒什么菜好吃 曹洪是曹操的什么人 aojo眼镜什么档次 锁阳泡酒有什么功效
营养过剩会导致什么hcv8jop5ns0r.cn 萎缩性胃炎吃什么中成药hcv8jop9ns2r.cn 为什么医院不推荐钡餐检查hanqikai.com 不齿是什么意思hcv9jop0ns6r.cn icu是什么意思hcv8jop9ns6r.cn
桡神经受损有什么恢复的方法hcv7jop9ns2r.cn 蛋糕裙适合什么人穿hcv9jop3ns5r.cn 阑尾炎看什么科室hcv9jop6ns2r.cn 喝什么茶养肝护肝排毒hcv8jop4ns1r.cn 团长是什么军衔hcv9jop6ns3r.cn
1972年属鼠的是什么命hcv9jop0ns0r.cn 气道高反应是什么意思hcv9jop4ns1r.cn 为什么月经迟迟不来又没怀孕hcv9jop3ns3r.cn hcg什么意思hcv9jop2ns2r.cn 怀孕为什么会恶心想吐hcv8jop4ns2r.cn
血压高看什么科fenrenren.com 蜂蜡是什么东西hcv9jop1ns9r.cn 什么人不适合喝咖啡hcv8jop5ns6r.cn 属猪的贵人属相是什么hcv7jop4ns6r.cn 今年67岁属什么生肖jinxinzhichuang.com
百度